picha tamu za zuchu

A Tanzanian singer, songwriter, and recording artist better known as Zuchu signed under WCB Wasafi records label Diamond Platnumz leadership, drop a new hits


picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu
picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

picha tamu za zuchu

Msani maarufu kutoka Tanzania Zuchu amefunfuka ni kwa nini aliamua kuimba mziki wa Singeli kwenye ngoma yake mpya ‘Nyumba Ndogo’. Akiongea na kituo kimoja cha habari hapa nchini Tanzania, msanii Zuchu kutokea WCB ameelezea kuwa mziki wa Singeli unapendwa sana nchini Tanzani, hivyo aliona n vyema kuwapa mashabiki wake ngoma watakayo furahia kwa mda mrefu.

“Singeli ni muziki ambao naupenda sana, mi nimeudhuria matamasha na nimeshaenda club yani energy yote ikishaisha ikishafika mwisho hata watu wawe wamechoka vipi, singeli ikipigwa kila mtu anaamka, kwa hiyo, hiyo ndo inspiration yangu ilipotokea,” Zuchu alieza.

Aidha kwenye mahojiano hayo, Zuchu aliweka wazi kuwa alitaka video ya wimbo huo iwe tofauti na video nyingine za singeli na alipanga kuwastaajabisha mashabiki zake kwa kufanya video ya kiutofauti.

Ikumbukwe video ya wimbo wa ‘Nyumba Ndogo’ imefanywa na muongozaji video maarufu nchini Tanzania Hanscana ambaye ukiachana na Zuchu, Hanscana ameshaongoza video za wasanii wakubwa nchini Tanzania kama Diamond Platnumz, Alikiba, Harmonize, Vanessa Mdee, Ibraah, Jux na wengineo wengi.

Uchunguzi wa Gazeti la IJUMAA WIKIENDA kwenye mitandao ya kusikiliza, kutazama, kuuza na kununua muziki, umeonesha kwamba, haijapata kutokea kwa lebo hiyo, kwa msanii wake kutamba kwa namba 8,2,1,0 kama ilivyotokea kwa Zuchu.

Mbali na Zuchu kutamba kwa namba hizo Kibongobongo, nje ya nchi nako ameonekana kuwa moto wa kuotea mbali, ambapo amevuna namba 1×4, 10, 17, 20 na 46. Hata hivyo, namba 1×3 aliyopata msanii huyo wa kike mwenye umri mdogo nchini, ndiyo iliyoshangaza wengi, ambapo kwa historia ya muziki wa Bongo Fleva, haijapata kutokea msanii yeyote kufika kiwango hicho cha mafanikio.

Hata hivyo, rekodi ya siku 18 tu za mwezi huo, zimeonesha kati ya wasanii wote wa WCB waliotamba, Zuchu ameingiza nyimbo 8 kati ya 10. Nyimbo hizo ni; Litawachoma (1), Cheche (2), Nisamehe (4), Wana (5), Raha (6), Kwaru (8), Hakuna Kulala (9) na Ashua (10) huku mbili zilizobaki akiwaachia wenzake.

Namba 2 ambayo inapatikana kwenye takwimu hapo juu, ni ya ‘bosi kubwa’ wa WCB, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, ambaye jina lake limeonekana mara mbili kwenye nyimbo za Litawachoma na Cheche, ambazo alishirikishwa na Zuchu.

Namba 2, ni nyimbo mbili za msnii Mbwana Yusuf Kilungi ‘Mbosso’ uitwao Sina Nyota ulioshika namba 3 kwenye orodha ya Boomplay kisha Ashua akiwa na Zuchu ukiwa kwenye namba 10. Moja nyingine inakwenda kwa wasanii wengine wa WCB, RJ The Dj na mwenzake Abdul Iddi ‘Lava Lava’, ambao walifanikiwa kupenyeza wimbo wao wa Sexy Mama kwenye listi hiyo.

Mbali na video hiyo kuwa namba moja Bongo, imeweza kushika namba hiyo kwenye nchi nyingine ambazo ni Uganda na Kenya, hivyo kumpa Zuchu alama 1×4 kwa wakati mmoja. Aidha, video hiyo imeweza kushika namba 10 katika nchi za Falme za Kiarabu, namba 17 nchini Afrika Kusini, namba 20 Saudi Arabia na kubamba nafasi ya 46 nchini Uingereza.

Leave your vote

You may also like...

Log In

Forgot password?

Don't have an account? Register

Forgot password?

Enter your account data and we will send you a link to reset your password.

Your password reset link appears to be invalid or expired.

Log in

Privacy Policy

Add to Collection

No Collections

Here you'll find all collections you've created before.